Home > Author > Enock Maregesi > detail

Enock Maregesi

Enock Maregesi was born in Tanzania. He is the author of KOLONIA SANTITA, a novel. In 2015 he won the Mabati-Cornell Kiswahili Prize For African Literature for KOLONIA SANTITA. The prize has the express goal in recognizing excellent writing in African languages and encourages translation from, between and into African languages! He lives in Tanzania.

Enock Maregesi alizaliwa nchini Tanzania. Amesomea teknolojia ya habari na utawala wa biashara katika Chuo Kikuu cha Wales, na uandishi wa habari na vitabu katika chuo cha ubunifu wa kifasihi cha Manchester (The Writers Bureau) nchini Uingereza. Hadithi ya KOLONIA SANTITA: LAANA YA PANTHERA TIGRISI ni kitabu chake cha kwanza kilichohamasishwa na wakongwe wa riwaya wa Tanzania - kama Elvis Musiba, Euphrase Kezilahabi na Ben Mtobwa - na utafiti yakinifu wa miaka kumi na nane wa ujasusi, madawa ya kulevya, ugaidi wa kimataifa na silaha za maangamizi za kikemia na kibiolojia. Alizaliwa huko Mwanza mwaka 1972 na kukulia Musoma na Dar es Salaam ambako anaishi mpaka leo, akijishughulisha na biashara na uandishi wa vitabu.


the Works of Enock Maregesi